Wednesday, May 31, 2017

ZAMBIA YAIFUNGA UJERUMANI NA KUTINGA ROBO FAINALI

Mabingwa wa Afrika Zambia wametokea nyuma na kuifunga Ujerumani kwa magoli 4-3 katika muda wa ziada na kutinga robo fainali ya Kombe la Dunia U20 Korea Kusini.

Zambia ilionekana kama imeshinda mechi hiyo ikiwa inaongoza kwa magoli 3-1 katika dakika ya 89, lakini magoli ya Suat Serdar na Jonas Arweiler yalifanya ngoma kuwa sare.

Katika mchezo huo shujaa alikuwa ni Shemmy Mayembe kwa kuifungia Zambia goli la mapema katika kipindi cha pili cha dakika 30 za ziada.
Kwa matokeo hayo Zambia sasa watavaana na Ufaransa ama Italia katika hatua ya nane bora siku ya jumatatu.

MBUGA ZA WANYAMA UNAZOWEZA KUTEMBELEA BURE WIKENDI HII

     Na Jumia Travel Tanzania

Siku ya Jumatatu ya Juni 5 itakuwa ni maadhimisho ya ‘Siku ya Mazingira Duniani’ ambayo huadhimishwa na mataifa tofauti duniani ikiwa imebeba kauli mbiu ya ‘Kuwaunganisha Watu na Mazingira Asilia.’
 Mapema wiki hii Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Muungano na Mazingira, Mh. January Makamba alitoa taarifa kwa umma kuwa kwa hapa nchini maadhimisho ya siku hiyo kitaifa yatafanyika kijijini Butiama mkoani Mara, mahali alipozaliwa mwasisi wa taifa la Tanzania, Hayati Mwl. Julius Nyerere, ikiwa ni kuenzi jitihada zake za kulinda na kuhifadhi mazingira.

Katika kunogesha sherehe hizo Waziri huyo amesema kuwa serikali imetoa ofa kwa wananchi kutembelea hifadhi yoyote ya mbuga ya wanyama bila ya kiingilio chochote kwa siku tatu, kuanzia Ijumaa ya Juni 2 mpaka Jumapili ya Juni 4. Alisema kuwa lengo kubwa ni kuona uwepo wa wanyama na kujifunza kuwa mazingira yanahitaji kulindwa zaidi na zaidi.
Kauli hiyo ya Waziri imekuja siku chache baada ya kampuni inayojihusisha na masuala ya huduma za hoteli mtandaoni barani Afrika, Jumia Travel kuzindua kampeni ya ‘DemocratizeTravel’ inayolenga kuwakomboa waafrika na watanzania kiujumla katika kusafiri na kutalii vivutio mbalimbali nchini huku wao wakirahisisha huduma za malazi na hoteli.

Kampuni hiyo inalenga kuhamasisha na kutoa elimu juu ya dhana potofu iliyojengeka miongoni mwa wananchi ya kwamba mchakato mzima unaohusisha utalii ni gharama. 


Katika kulifanikisha hilo kampuni hiyo imedhamiria kuelimisha juu ya vivutio vilivyopo nchini, masuala ya msingi ya kuzingatia wakati wa kusafiri pamoja na kurahisisha gharama za malazi kupitia hoteli za kila hadhi zilizopo kwenye mtandao wao wa travel.jumia.com.   
Baadhi ya changamoto zilizopo ni pamoja na mwamko mdogo wa watanzania kutembelea vivutio vya kitalii vilivyopo karibu na wanayoishi. Wapo baadhi yao hawafahamu kuwa wanaishi na vivutio hivyo na wengine huchukulia mchakato mzima unahusisha gharama kubwa.

BUNGE LAPITISHA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO SHILINGI TRILIONI 11.752


IMG_9376
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), akihitimisha mjadala wa Bajeti ya Wizara yake ambapo Bunge limepitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya shilingi trilioni 11.752 kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018.
IMG_9391
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (kushoto) na Naibu wake Dkt. Ashatu Kijaji (Mb), wakifuatilia kwa makini hoja mbalimbali za Wabunge wakati wakijadili Bajeti ya Wizara hiyo Bungeni Mjini Dodoma, ambapo Bunge hilo limepitisha Bajeti ya shilingi trilioni 11.752 kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018.
IMG_9472
Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, akimpongeza Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe.  Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) ndani ya Ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma, baada ya wabunge kupitisha Bajeti ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018.
IMG_9475
Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, akimpongeza Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe.  Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) ndani ya Ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma, baada ya wabunge kupitisha Bajeti ya Wizara hiyo ya jumla ya shilingi trilioni 11.752 kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018.
IMG_9493
Mkurudenzi wa Idara ya Mipango-Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Richard Mkumbo (kulia), akipongezana na Mkurugenzi wa Bima ya Taifa, kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma baada ya Bunge kupitisha Bajeti ya wizara hiyo.
IMG_9562
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) (kushoto) akimsikiliza kwa makini Mbunge wa Babati Vijijini Mhe. Jitu Soni nje ya Ukumi wa Bunge mara baada ya Wabunge kupitisha Bajeti ya Wizara hiyo ya shilingi trilioni 11.752 kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018.
IMG_9599
Gavana wa Benki Kuu (BOT), Prof. Beno Ndullu (kushoto), akimpongeza Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), baada ya Bunge kupitisha makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo ya shilingi trilioni 11.752 kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 Mjini Dodoma
IMG_9613
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango (Mb) akipeana mkono na Mkaguzi Mkuu wa ndani wa Serikali Bw. Mohamed Mtonga, nje ya ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma baada ya Bunge kupitisha bajeti ya Wizara hiyo ya shilingi trilioni 11.752 kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018.
IMG_9659
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (kushoro) akimshukuru na kumpongeza Naibu wake Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) kwa kazi kubwa aliyoifanya katika kusimamia na kuhakikisha kuwa Bajeti ya Wizara hiyo inaandaliwa kwa viwango vya juu na hatimaye kupitishwa na Bunge Mjini Dodoma ambapo Wizara hiyo imeidhinishiwa kukusanya nakutumia shilingi trilioni 11.752 kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018.
IMG_9716
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (wa saba kutoka kushoto mstari wa mbele) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wakuu wa Wizara na Taasisi zilizochini ya Wizara hiyo nje ya ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma baada ya kuhitimishwa kwa mjadala wa bajeti wa Wizara hiyo.
(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini-Wizara ya Fedha na Mipango)

Reforms: Will pensioners benefit from NSSF’s loss of monopoly?

Mr Jimmy Lwamafa (right) and Mr Christopher Ob







 

By Mark Keith Muhumuza
Kampala- The Finance Committee of Parliament has been receiving views on the proposed plans to liberalise the pension sector in Uganda. And what has been the dominant topic is ending the monopoly of the National Social Security Fund (NSSF).

NSSF income hits Shs342 billion despite low stock market activity



NSSF managing director Richard Byarugaba
NSSF managing director Richard Byarugaba  

‘Develop innovative ways to increase penetration’









Vice President Edward Kiwanuka Ssekandi (left)
Vice President Edward Kiwanuka Ssekandi (left) is welcomed on arrival at the 44th Conference of the African Insurance Organisation by Mr Ibrahim Lubega Kaddunabbi (2nd right), the chief executive officer of the Insurance Regulatory Authority Uganda, and other government and insurance dignitaries. COURTESY PHOTO  

World Bank gives green light to Uganda’s project performance

Members of the public receive reading material
Members of the public receive reading material about Word Bank during the organisation’s Open Day in Kampala on Tuesday.  

Regional budget to prioritise infrastructure development, trade

The budget also seeks to improve agricultural








The budget also seeks to improve agricultural productivity, value addition and movement of produce. FILE PHOTO  

CNN Comedian sacked for 'beheading' Trump

US comedian Kathy Griffin holding up a prop
US comedian Kathy Griffin holding up a prop depicting Donald Trump's bloodied, severed head. TMZ Photo 

Blogs & Opinion

Rising food, fuel prices lift inflation to five-year high

A shopper at Nakumatt Supermarket’s maize flour section. The staple food was among basic items that were cited by the statistics bureau for pushing the cost of living measure to new highs. PHOTO | FRANCIS NDERITU | NMG
A shopper at Nakumatt Supermarket’s maize flour section. The staple food was among basic items that were cited by the statistics bureau for pushing the cost of living measure to new highs. PHOTO | FRANCIS NDERITU | NMG 

President Uhuru Kenyatta joins hundreds in train ride

Mombasa SGR terminus in Miritini after President Uhuru Kenyatta launched commuter train on May 31, 2017. PHOTO | JEFF ANGOTE | NATION MEDIA GROUP
Mombasa SGR terminus in Miritini after President Uhuru Kenyatta launched commuter train on May 31, 2017. PHOTO | JEFF ANGOTE | NATION MEDIA GROUP 
By AGGREY MUTAMBO
More by this Author
President Uhuru Kenyatta on Wednesday joined more than a thousand Kenyans and diplomats in an inaugural ride on the brand new passenger train from Mombasa to Nairobi.
The journey aboard the Madaraka Express, travelling on the standard gauge railway, saw close to 1,300 people travel to Nairobi from Coast for free.
They were also treated to free food and drinks. The number of passengers exceeded the 1,200 limit but President Kenyatta told reporters aboard one of the coaches that the trip signalled the start of good tidings for the Kenyan public transport system.
“I feel glad. It is wonderful and a new experience that we will be bringing to all Kenyans at an affordable price,” he said, adding: “This is a true beginning of our transformation and ultimately Kenyans from all corners will begin to see the benefits, not just from this rail but the ancillary activities that will begin to develop as a result of us developing this line and its continuation to Kisumu.”
CHARGED SH700
The President rode with his deputy William Ruto, Cabinet secretaries, senior government officials, diplomats and Chinese officials.
During several stop-overs, the President said travellers will be charged Sh700 on the economy class between Nairobi and Mombasa and as little as Sh50 for a ride between Mombasa and Mariakani. Tickets can be bought at any train station.
President Uhuru Kenyatta, First Lady Margaret Kenyatta and Deputy President William Ruto at the Mombasa Terminus of the standard gauge railway, christened ‘Madaraka Express’, at Miritini on May 31, 2017. The President commissioned the SGR passenger service. Also present were national leaders, government officers, diplomats and wananchi.  PHOTO | PSCU
President Uhuru Kenyatta, First Lady Margaret Kenyatta and Deputy President William Ruto at the Mombasa Terminus of the standard gauge railway, christened ‘Madaraka Express’, at Miritini on May 31, 2017. The President commissioned the SGR passenger service. Also present were national leaders, government officers, diplomats and wananchi. PHOTO | PSCU
The train, driven by China-trained assistant locomotive drivers Alice Mugure, 27, and Concilia Owire, 23, had 16 coaches, 15 of which were filled to capacity.
Escorted by police and military choppers, the train carried many government heads of department and parastatal chiefs, including those who have since resigned to run for political office. It also had politicians and elected leaders.
DIPLOMATS
One coach was filled with employees from the Central Bank, National Treasury and the Kenya Revenue Authority while another had diplomats from across Africa invited to witness what President Kenyatta termed a reopening of the hinterland. Another carried the Chinese.
Journalists, ordinary Kenyans and chiefs clad in their uniforms occupied other coaches as the train began its first journey.
Assistant locomotive drivers Concilia Owire, 23 (right) and Alice Mugure, 27, who steered the train on its maiden trip to Nairobi. PHOTO | JEFF ANGOTE | NATION MEDIA GROUP
Assistant locomotive drivers Concilia Owire, 23 (right) and Alice Mugure, 27, who steered the train on its maiden trip to Nairobi. PHOTO | JEFF ANGOTE | NATION MEDIA GROUP
Some of the passengers had to stand for most of the journey as others were left behind when they disembarked with the President during the many stopovers.
As the train snaked through the dry lands of Makueni, King Ramadhan Divayu Babisan from Tana River sat near the window, enjoying the view of wild animals grazing on the roadside.
ENJOYABLE TRIP
“The trip has been enjoyable and it has given me a new experience I never imagined,” said the leader of one of the smallest communities — the Wailwana from Bura, Tana River. “We just need to focus on the scourge of corruption, which may threaten this service as it has done to other projects before,” he added.
His local chief, he explained, selected him to enjoy the ride because he is a community leader who sometimes teaches the public about civil rights and duties.
Mr Martin Owino, of Mt Kenya University, who said he was selected for the trip because he is a student leader, described his experience: “It has been a great feeling. I am happy, especially today, because the ride has been smooth and we were served by the youth. I feel it is a good opportunity for them and this is what we need to focus on.”
Mombasa Terminus at night in this photo taken on Tuesday. President Uhuru Kenyatta launched both the commuter and freight trains. PHOTO | JEFF ANGOTE | NATION MEDIA GROUP
Mombasa Terminus at night in this photo taken on Tuesday. President Uhuru Kenyatta launched both the commuter and freight trains. PHOTO | JEFF ANGOTE | NATION MEDIA GROUP
In his briefing to journalists, the President said he hoped there will be a continuity of infrastructure projects regardless of who wins the August 8 elections.
He said all projects under Vision 2030 must be completed regardless of changes in government.
LOAN FROM CHINA
“It is my strong belief that administrations come and go. Governments are permanent and so we have a responsibility as leaders and even those who come after us to follow through because all these projects are all envisioned in Vision 2030 and they belong to Kenyans,” he said.
The railway is the product of a loan worth Sh327 billion from China. It had been conceived during the Grand Coalition Government of Mwai Kibaki and Raila Odinga.
SGR commuter train hostess in one of the passenger wagons after President Uhuru Kenyatta launched it on May 31, 2017. PHOTO | JEFF ANGOTE | NATION MEDIA GROUP
SGR commuter train hostess in one of the passenger wagons after President Uhuru Kenyatta launched it on May 31, 2017. PHOTO | JEFF ANGOTE | NATION MEDIA GROUP
The President said his administration was following through a vision established years ago when he was not in power “When we took over in 2013, there are no projects that we stopped. We actually focused ourselves on finishing those that had been initiated or were in various stages of completion by the previous administration,” he said.
“We only started our programmes once we had completed old ones. That is why we are now at the tail-end. We actually delayed some of the projects we had wanted to start to complete the pending ones.”
The passenger and cargo trains will now continue on test runs until December when they will be fully operational.
The President said the railway’s related facilities such as special economic zones in Naivasha, an industrial zone in Voi, an expanded railway to Kisumu and an expanded port, were in the pipeline.

KATIBU TAWALA MKOA WA SHINYANGA AWATAKA WADAU WA SEKTA YA AFYA KUFANYA KAZI KWA UWAZI NA KUSHIRIKIANA


Katibu Tawala wa mkoa wa Shinyanga Albert Msovela amewataka wadau wa sekta ya afya mkoani Shinyanga kufanya kazi kwa ushirikiano,umoja na uwazi ili kuhakikisha changamoto zilizopo katika sekta hiyo zinapungua kwa ajili ya maendeleo ya jamii.
Msovela ametoa rai hiyo leo wakati wa kufunga kikao siku mbili cha wadau wa sekta ya afya mkoa wa Shinyanga kilichofanyika katika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa kuanzia May 30,2017 hadi May 31,2017 kilichokutanisha pamoja mashirika na taasisi zaidi ya 30 zinazojishughulisha na masuala ya afya.
Msovela alisema serikali mkoa wa Shinyanga inatambua kazi nzuri zinazofanywa na mashirika na taasisi katika kushughulikia masuala ya afya hivyo kuwataka waungane pamoja badala ya kila mmoja kufanya kazi peke yake ili kumaliza changamoto zinazoikabili sekta hiyo.
Aidha Msovela alitoa wito kwa wadau wote wa afya wanapoanza kutekeleza miradi mipya waripoti katika ngazi ya mkoa na wilaya huku akiwasisitiza kuwasilisha mipango kazi yao sambamba na kuwa wa wazi ili kuepuka migongano inayoweza kujitokeza. 
ANGALIA HAPA PICHA ZA MATUKIO
Katibu Tawala wa mkoa wa Shinyanga Albert Msovela akizungumza wakati wa kufunga kikao cha wadau wa afya mkoa wa Shinyanga
Katibu Tawala wa mkoa wa Shinyanga Albert Msovela akizungumzia kuhusu umuhimu wa wadau wa afya kukutana na kujadili masuala ya afya katika jamii 
Katibu Tawala wa mkoa wa Shinyanga Albert Msovela akizungumza na wadau wa sekta ya afya mkoa wa Shinyanga
Mtaalamu wa magonjwa ya mlipuko,Athanas Lucas akielezea kuhusu magonjwa ya mlipuko ambapo aliitaka jamii kuchukua tahadhali juu ya magonjwa ya mlipukovile Ebola,Surua na Rubella,polio,pepopunda ya watoto wachanga,kipindupindu,homa ya uti wa mgongo na kichaa cha mbwa.
Kushoto ni Katibu Tawala wa mkoa wa Shinyanga Albert Msovela na Mganga Mkuu wa mkoa wa Shinyanga,Dkt. Rashid Mfaume wakisikiliza kwa makini mada kuhusu magonjwa ya mlipuko
Mtaalamu wa magonjwa ya mlipuko,Athanas Lucas akiendelea kutoa mada kuhusu magonjwa ya mlipuko
Mkurugenzi wa Shirika la AGAPE,John Myola akielezea kuhusu shughuli zinazofanywa na shirika hilo katika kupiga vita vitendo vya ndoa na mimba za utotoni
Wajumbe wa kikao hicho wakiwa ukumbini
Mratibu wa damu salama mkoa wa Shinyanga,Joel David akielezea kuhusu mahitaji ya damu mkoa wa Shinyanga ambapo aliomba wadau waendelee kujitokeza kutoa damu ili kukabiliana na changamoto ya upungufu wa damu katika hospitali mbalimbali mkoani Shinyanga
Mdau wa afya,Mzee Sengerema akichangia hoja wakati wa kikao hicho
Mganga mkuu wa mkoa wa Shinyanga,Dkt. Rashid Mfaume akizungumza wakati wa kikao hicho ambapo aliwashukuru wadau wa sekta ya afya kujitokeza kwa wingi kujadili masuala yanayohusu afya mkoani humo.Angalia Picha Nyingi zaidi <<HAPA>>
Picha zote na Kadama Malunde-Malunde1 blog

RAIS ATEUA MANAIBU GAVANA WA BoT

EABC calls for targeted interventions to drive EAC industrialisation

By: Peterson Tumwebazephoto
Employees of Hippo monitoring the production line. Industries in the region are seeking support to become competitive and create jobs. / Timothy Kisambira
Manufacturers in the region have been complaining of high cost of doing business in the region coupled with several impediments to accessing the wider regional market which have affected the sector’s productivity and competitiveness.
Lillian Awinja, the East African Business Council chief executive, was recently in the country for the...

Aftercare services a must for industries to thrive, spur devt – EAC business leaders

By: James Karuhanga
photo
The regional manufacturing sector is contributing just 10 per cent to the bloc's GDP partly due to lack of aftercare services by governments, sector players say. / File
The business community is willing to support the East African Community (EAC) integration process, but problems like lack of “aftercare services” are affecting the potential and growth of enterprises and hence their contribution to regional development, business leaders have said.
According to Lilian Awinja, the executive director of the East African Business Council (EABC), there is urgent need for interventions and a clear action plan to address such issues and “put manufacturers in the region on a growth path”.
“One of the challenges we (EACBC) have noticed is that we welcome companies to come and invest in the region. However, we only ‘take care’ of them when they land, but rarely follow up after this,” Awinja said.
“We are not worried about companies once they have set up and don’t work on the issues that arise later on. We worry more about bringing in more investors than taking good care of the companies that we already have.”
So, the care we give companies after they have set up shop in the EAC bloc is not satisfactory and this affects their growth and contribution to regional growth and job-creation, she added.
1496085227cimerwa
EAC business leaders say neglect by governments is hurting industrial growth in the region. / File
The result of poor or insufficient after care, she observed, is that the region has companies that ...

COMESA moves to promote gender mainstreaming in trade

By: Times Reporter
photo
Kituyi says gender mainstreaming is key to growth. (Net)
Regional countries should always consider gender in policy formulation and implementation, as well as in the negotiations of trade and other agreements because it is key to economic growth, Mukhisa Kituyi, UNCTAD Secretary General, has said.

Urban growth a boon for Africa’s industrialisation

By: Africa Renewal
photo
There has been much talk about Africa’s urban dividends—the increased prosperity and sustained socioeconomic development resulting from the expansion and industrialisation of African cities.
Yet such dividends can be derived only from governments’ deliberate planning and management of

MPs begin scrutiny of bill that seeks to amend banking law

By: Eugene Kwibuka
photo
The headquarters of BK, one of the biggest commercial banks in the country. (File)
Members of Parliament in the Lower House’s parliamentary Standing Committee on Economy and Trade yesterday began scrutiny of a voluminous bill that seeks to  amend the country’s banking law.
Approved in principle by Parliament last November, the draft law concerning organisation of banking

CNLG to fast-track UNESCO listing of Genocide memorials

By: Michel Nkurunziza
photo
Bisesero Genocide Memorial in Karongi District is one of the four sites in line to be added on UNESCO's World Heritage Site list. (Sam Ngendahimana)
The National Commission for the fight against Genocide (CNLG) and the International Coalition of sites of Conscience (ICSC) are carrying out a joint assessment exercise to ascertain the level of compliance by Genocide memorial sites bidding to be added on world heritage list.

Experts: Kenya SGR launch opens fronts for other phases

By: Collins Mwai
photo
The 380-mile stretch is expected to eventually connect Rwanda and Uganda to the Mombasa port. (Net photo)
Operationalisation of the Standard Gauge Railway (SGR) in Kenya could ease financing of the rest of the project to Rwanda through Uganda, experts have said.